Ta Ha 20:119 وانك لا تظما فيها ولا تضحى ١١٩
Ukurasa 320 · Juzuu 16
وَأَنَّكَ
لَا
تَظۡمَؤُاْ
فِيهَا
وَلَا
تَضۡحَىٰ
١١٩
Na hakika hutapata kiu humo wala hutapata joto.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
na una neema ya kutoshikwa na kiu katika hii Pepo na kutopatwa na joto la jua.